Dar es Salaam. Mwili wa Suezi Maradufu, aliyekuwa dereva wa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche umefanyiwa uchunguzi wa kisayansi, huku sampuli zikichukuliwa ...
Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu wakati akitoka katika kizimba cha Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam Jumatano, Februari 18, 2026 baada ya kesi yake kuahirishwa. Picha na Maktaba Dar es ...
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameiwekea pingamizi Jamhuri katika maombi ya mapitio iliyowasilisha Mahakama ya Rufani, akidai hayana msingi wa ...
Geita. Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limethibitisha kumshikilia Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Geita, Neema Chozaire ambaye awali aliripotiwa kutoweka baada ya ...
Mwenyekiti wa Mpito wa Bodi ya Tanzania Breweries PLC, Ami Mpungwe, (kushoto), Michelle Kilpin Mtendaji Mkuu wa TBL) Michelle Kilpin, (Katikati) na Avito Swai, Mkuu wa Kitengo cha Fedha TBL (Kulia) ...
Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mkurugenzi wa Sera, Uhusiano na Ushirikiano na Serikali (PGRP), Divisheni ya Afrika na India kutoka Taasisi ya Gates, Caty Fall Sow aliyeambatana na ...
Nahodha wa zamani wa Manchester United na timu ya taifa ya Ireland, Roy Keane, amesema anaamini safari ya England katika Fainali za Kombe la Dunia 2026 itaishia hatua ya robo fainali, akidai timu hiyo ...
Dar es Salaam. Mshambuliaji Prince Dube amepiga chini ofa tatu kubwa na kufanya uamuzi magumu ya kurejea nchini kwao Zimbabwe akisaini mkataba wa miaka miwili. Dube amesaini mkataba na Hardrock ya ...
Saa chache baada ya Senegal kutupwa nje kwenye Fainali za Kombe la Dunia baada ya kufungwa mabao 3-2 na Ubelgiji, kiungo Pape Gueye ametangaza kujiweka kando kuichezea timu hiyo. Gueye anayechezea ...
Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania na ya Marekani leo Jumatano, Julai 1, 2026 zimesaini Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano katika Sekta ya Afya (MoU) ya miaka mitano yenye thamani ya zaidi ya dola ...
Kabla ya kutongoa, nakusihi. Jikumbushe kisa cha ‘sizitaki mbichi hizi. na rumba la Madilu System’ Hii, ni kwa wale waliosoma enzi za Mchonga kabla ya UPE na uholela baada ya hapo. Sungura zwazwa, ...
Timu ya taifa ya England imetinga hatua ya 16 bora baada ya kuichapa DR Congo mabao 2-1, katika mechi ya hatua ya 32 bora ya Fainali za Kombe la Dunia. England ilipindua matokeo kipindi cha pili ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results