Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amewataka wananchi, wakiwamo madereva bodaboda, bajaji na wajasiriamali wadogo nchini, kuendelea na shughuli zao kama kawaida ifikapo ...
Dar es Salaam. Wakati Yanga ikisherehekea paredi la ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya tano mfululizo, mashabiki wa Simba wamezidi kujifariji kwa bao lililofungwa na nyota wa kikosi hicho, Clatous ...
Dar es Salaam. Mwili wa Suezi Maradufu, aliyekuwa dereva wa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche umefanyiwa uchunguzi wa kisayansi, huku sampuli zikichukuliwa ...
Dar es Salaam. Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeitoza Klabu ya Yanga, faini ya Sh100 milioni baada ya kubainika kuwa wachezaji na benchi la ufundi walitumia nyumba iliyo nje ya uwanja badala ya ...
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameiwekea pingamizi Jamhuri katika maombi ya mapitio iliyowasilisha Mahakama ya Rufani, akidai hayana msingi wa ...
Geita. Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limethibitisha kumshikilia Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Geita, Neema Chozaire ambaye awali aliripotiwa kutoweka baada ya ...
Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania na ya Marekani leo Jumatano, Julai 1, 2026 zimesaini Hati ya Makubaliano ya Ushirikiano katika Sekta ya Afya (MoU) ya miaka mitano yenye thamani ya zaidi ya dola ...
Mwenyekiti wa Mpito wa Bodi ya Tanzania Breweries PLC, Ami Mpungwe, (kushoto), Michelle Kilpin Mtendaji Mkuu wa TBL) Michelle Kilpin, (Katikati) na Avito Swai, Mkuu wa Kitengo cha Fedha TBL (Kulia) ...
Dar es Salaam. Dereva wa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, John Heche, Suez Maradafu, amefariki dunia katika nyumba ya wageni aliyokuwa amefikia mkoani Kigoma.
Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mkurugenzi wa Sera, Uhusiano na Ushirikiano na Serikali (PGRP), Divisheni ya Afrika na India kutoka Taasisi ya Gates, Caty Fall Sow aliyeambatana na ...
Dar es Salaam. Miaka sita iliyopita ndipo ulisikika wimbo wa kwanza kati ya staa wa Bongo Fleva, Rayvanny na Nora Fatehi, mzaliwa wa Toronto, Canada ambaye amepata umaarufu kutokana na soko la filamu ...
New Jersey, Marekani. Timu ya taifa ya Ufaransa imekata tiketi ya kucheza hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia, baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0, dhidi ya Sweden, huku nyota wa kikosi hicho, ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results